Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 22:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Watakuja na kusema juu ya uadilifu wake+

      Kwa kikundi cha watu kitakachozaliwa, kwamba ni yeye amefanya hilo.+

  • Isaya 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na itatukia katika siku za mwisho+ kwamba mlima wa nyumba+ ya Yehova utawekwa imara juu ya kilele cha milima,+ nao utainuliwa juu ya vilima;+ na mataifa yote yatamiminika huko.+

  • Isaya 43:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 kila mtu ambaye anaitwa kwa jina langu+ na ambaye nimemuumba kwa ajili ya utukufu wangu,+ ambaye nimemfanya, ndiyo, ambaye nimemfanyiza.’+

  • Ufunuo 15:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ni nani ambaye kwa kweli hatakuogopa wewe,+ Yehova,+ na kulitukuza jina lako,+ kwa sababu wewe peke yako ni mshikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele zako,+ kwa sababu amri zako za uadilifu zimefunuliwa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki