2 Na itatukia katika siku za mwisho+ kwamba mlima wa nyumba+ ya Yehova utawekwa imara juu ya kilele cha milima,+ nao utainuliwa juu ya vilima;+ na mataifa yote yatamiminika huko.+
4 Ni nani ambaye kwa kweli hatakuogopa wewe,+ Yehova,+ na kulitukuza jina lako,+ kwa sababu wewe peke yako ni mshikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele zako,+ kwa sababu amri zako za uadilifu zimefunuliwa.”+