Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Niombe,+ ili nikupe mataifa yawe urithi wako+

      Na miisho ya dunia iwe miliki yako mwenyewe.+

  • Zaburi 72:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Naye atakuwa na raia kutoka bahari mpaka bahari+

      Na kutoka ule Mto+ mpaka miisho ya dunia.+

  • Zaburi 86:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Mataifa yote ambayo umeyafanya, yatakuja yenyewe,+

      Nayo yatainama mbele zako, Ee Yehova,+

      Na kulipa utukufu jina lako.+

  • Hagai 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “ ‘Nami nitayatikisa mataifa yote, navyo vitu vyenye kutamanika vya mataifa yote vitaingia;+ nami nitaijaza nyumba hii utukufu,’+ asema Yehova wa majeshi.

  • Malaki 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Na mataifa yote yatawatangaza ninyi kuwa wenye furaha,+ kwa maana ninyi wenyewe mtakuwa nchi yenye kupendeza,”+ Yehova wa majeshi amesema.

  • Ufunuo 11:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na malaika wa saba akaipiga tarumbeta yake.+ Na sauti kubwa zikatokea mbinguni, zikisema: “Ufalme wa ulimwengu umekuwa ufalme wa Bwana+ wetu na wa Kristo+ wake, naye atatawala akiwa mfalme milele na milele.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki