Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 23:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Hasira ya Yehova haitarudi nyuma mpaka atakapokuwa ametenda+ na mpaka atakapokuwa ametimiza mawazo ya moyo wake.+ Katika siku za mwisho ninyi mtalifikiria jambo hilo kwa uelewaji.+

  • Yeremia 30:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Hasira ya Yehova inayowaka haitarudi nyuma mpaka atakapokuwa amefanya na mpaka atakapokuwa ametimiza mawazo ya moyo wake.+ Mtalifikiria jambo hilo katika siku za mwisho.+

  • Ezekieli 38:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nawe utalazimika kupanda na kuja juu ya watu wangu Israeli, kama mawingu ili kuifunika nchi.+ Itatukia katika siku za mwisho, nami hakika nitakuleta wewe juu ya nchi yangu,+ kusudi mataifa yanijue mimi wakati ninapojitakasa mwenyewe kupitia kwako mbele ya macho yao, Ee Gogu.” ’+

  • Danieli 12:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Naye akaniambia tena: “Nenda, Danieli, kwa sababu maneno hayo yamewekwa siri na kufungwa kwa muhuri mpaka wakati wa mwisho.+

  • Matendo 2:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 ‘ “Na katika siku za mwisho,” Mungu asema, “Nitaimimina sehemu ya roho yangu+ juu ya kila namna ya mwili, nao wana wenu na binti zenu watatoa unabii nao wanaume wenu vijana wataona maono na wazee wenu wataota ndoto;+

  • 2 Timotheo 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Lakini ujue jambo hili, ya kwamba katika siku za mwisho+ kutakuwa na nyakati za hatari zilizo ngumu kushughulika nazo.+

  • Ufunuo 12:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa sababu hiyo furahini, enyi mbingu nanyi mnaokaa ndani yake!+ Ole+ wa dunia na wa bahari,+ kwa sababu Ibilisi ameshuka kwenu, akiwa na hasira kali, akijua kwamba ana kipindi kifupi cha wakati.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki