2 mimi pia nitayakusanya pamoja mataifa yote+ na kuwaleta kwenye bonde la Yehoshafati;+ nami huko nitajiweka katika hukumu nao kwa sababu ya watu wangu na urithi wangu Israeli,+ ambao wamewatawanya katikati ya mataifa; nao waligawanya nchi yangu mwenyewe.+