Isaya 66:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana, kama moto, Yehova atabishana na wote wenye mwili, ndiyo, akiwa na upanga wake;+ na waliouawa wa Yehova hakika watakuwa wengi.+ Ezekieli 38:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nami nitajiingiza mwenyewe katika hukumu+ pamoja naye, kwa tauni+ na kwa damu;+ nami nitanyesha mvua kubwa yenye kufurika na mawe,+ moto+ na kiberiti juu yake na juu ya vikosi vyake na juu ya vikundi vingi vya watu vitakavyokuwa pamoja naye.+
16 Kwa maana, kama moto, Yehova atabishana na wote wenye mwili, ndiyo, akiwa na upanga wake;+ na waliouawa wa Yehova hakika watakuwa wengi.+
22 Nami nitajiingiza mwenyewe katika hukumu+ pamoja naye, kwa tauni+ na kwa damu;+ nami nitanyesha mvua kubwa yenye kufurika na mawe,+ moto+ na kiberiti juu yake na juu ya vikosi vyake na juu ya vikundi vingi vya watu vitakavyokuwa pamoja naye.+