Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 9:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Sasa Yehova akamwambia Musa: “Nyoosha mkono+ wako kuelekea mbinguni, ili mvua ya mawe+ ipate kunyesha juu ya nchi yote ya Misri, juu ya mwanadamu na mnyama na mimea yote ya shambani katika nchi ya Misri.”

  • Yoshua 10:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na ikawa kwamba walipokuwa wanakimbia kutoka mbele ya Israeli, wakiwa kwenye mteremko wa Beth-horoni, Yehova akawatupia mawe+ makubwa kutoka mbinguni mpaka Azeka, nao wakafa. Wale waliokufa kutokana na hayo mawe ya mvua walikuwa wengi kuliko wale ambao wana wa Israeli waliwaua kwa upanga.

  • Zaburi 18:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kutoka katika mwangaza ulio mbele yake kulikuwa na mawingu yake yaliyopita,+

      Mvua ya mawe na makaa yanayowaka moto.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki