6 Mtakaziwa fikira kutoka kwa Yehova wa majeshi kwa mngurumo na kwa tetemeko na kwa sauti kubwa, upepo wa dhoruba na tufani, na mwali wa moto unaoteketeza.”+
30 Na Yehova hakika atafanya utukufu wa sauti+ yake usikiwe naye atafanya kushuka kwa mkono wake kuonekane,+ katika kuwaka kwa hasira+ na mwali wa moto unaoteketeza+ na tufani ya mvua na dhoruba ya mvua+ na mawe ya mvua.+