1 Samweli 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wale wanaoshindana na Yehova wataingiwa na woga;+Atanguruma juu yao kutoka mbinguni.+Yehova mwenyewe ataihukumu miisho ya dunia,+Ili ampe mfalme wake nguvu,+Ili ainue pembe ya mtiwa-mafuta wake.”+ Yeremia 50:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Yehova amefungua ghala lake, naye anatoa silaha za shutuma yake.+ Kwa maana kuna kazi aliyo nayo Bwana Mwenye Enzi Kuu,+ Yehova wa majeshi, katika nchi ya Wakaldayo.+ Nahumu 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yehova si mwepesi wa hasira+ naye ni mkuu katika nguvu,+ wala hatasita kamwe kuadhibu.+ Njia yake imo katika upepo wenye kuharibu na katika dhoruba, na wingu kubwa ndilo mavumbi ya miguu yake.+
10 Wale wanaoshindana na Yehova wataingiwa na woga;+Atanguruma juu yao kutoka mbinguni.+Yehova mwenyewe ataihukumu miisho ya dunia,+Ili ampe mfalme wake nguvu,+Ili ainue pembe ya mtiwa-mafuta wake.”+
25 “Yehova amefungua ghala lake, naye anatoa silaha za shutuma yake.+ Kwa maana kuna kazi aliyo nayo Bwana Mwenye Enzi Kuu,+ Yehova wa majeshi, katika nchi ya Wakaldayo.+
3 Yehova si mwepesi wa hasira+ naye ni mkuu katika nguvu,+ wala hatasita kamwe kuadhibu.+ Njia yake imo katika upepo wenye kuharibu na katika dhoruba, na wingu kubwa ndilo mavumbi ya miguu yake.+