Zaburi 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na kusema: “Mimi, naam, mimi nimemweka mfalme wangu+Juu ya Sayuni,+ mlima wangu mtakatifu.”+ Zaburi 45:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Moyo wangu umesisimuka kwa sababu ya jambo jema.+Ninasema: “Kazi zangu zinamhusu mfalme.”+Ulimi wangu na uwe kalamu+ ya mwandikaji stadi.+ Zaburi 110:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 110 Neno la Yehova kwa Bwana wangu ni:+“Keti kwenye mkono wangu wa kuume+Mpaka niwaweke adui zako kuwa kiti cha miguu yako.”+ Isaya 32:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Tazama! Mfalme+ atatawala kwa ajili ya uadilifu;+ nao wakuu+ watatawala wakiwa wakuu kwa ajili ya haki. Mathayo 28:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Naye Yesu akakaribia na kuwaambia, akisema: “Nimepewa mamlaka yote+ mbinguni na duniani.
45 Moyo wangu umesisimuka kwa sababu ya jambo jema.+Ninasema: “Kazi zangu zinamhusu mfalme.”+Ulimi wangu na uwe kalamu+ ya mwandikaji stadi.+
110 Neno la Yehova kwa Bwana wangu ni:+“Keti kwenye mkono wangu wa kuume+Mpaka niwaweke adui zako kuwa kiti cha miguu yako.”+
32 Tazama! Mfalme+ atatawala kwa ajili ya uadilifu;+ nao wakuu+ watatawala wakiwa wakuu kwa ajili ya haki.