Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Na kusema: “Mimi, naam, mimi nimemweka mfalme wangu+

      Juu ya Sayuni,+ mlima wangu mtakatifu.”+

  • Zaburi 45:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Moyo wangu umesisimuka kwa sababu ya jambo jema.+

      Ninasema: “Kazi zangu zinamhusu mfalme.”+

      Ulimi wangu na uwe kalamu+ ya mwandikaji stadi.+

  • Zaburi 110:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 110 Neno la Yehova kwa Bwana wangu ni:+

      “Keti kwenye mkono wangu wa kuume+

      Mpaka niwaweke adui zako kuwa kiti cha miguu yako.”+

  • Isaya 32:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Tazama! Mfalme+ atatawala kwa ajili ya uadilifu;+ nao wakuu+ watatawala wakiwa wakuu kwa ajili ya haki.

  • Mathayo 28:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Naye Yesu akakaribia na kuwaambia, akisema: “Nimepewa mamlaka yote+ mbinguni na duniani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki