2 Samweli 23:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Roho ya Yehova ndiyo iliyosema kupitia mimi,+Na neno lake lilikuwa kwenye ulimi wangu.+ Isaya 8:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na Yehova akaniambia: “Jichukulie bamba kubwa+ na uandike juu yake kwa kalamu ya mwanadamu anayeweza kufa, ‘Maher-shalal-hash-bazi.’ Yeremia 8:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “‘Ninyi mnawezaje kusema: “Sisi tuna hekima, nasi tuna sheria ya Yehova”?+ Hakika, sasa, kalamu+ ya uwongo ya waandishi imefanya kazi ya uwongo mtupu.
8 Na Yehova akaniambia: “Jichukulie bamba kubwa+ na uandike juu yake kwa kalamu ya mwanadamu anayeweza kufa, ‘Maher-shalal-hash-bazi.’
8 “‘Ninyi mnawezaje kusema: “Sisi tuna hekima, nasi tuna sheria ya Yehova”?+ Hakika, sasa, kalamu+ ya uwongo ya waandishi imefanya kazi ya uwongo mtupu.