Hosea 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ndipo nikamwandikia mambo mengi ya sheria yangu;+ nayo yamehesabiwa kuwa kama kitu kigeni.+ Waroma 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Sasa, ikiwa wewe ni Myahudi kwa jina+ na unategemea sheria+ na kujivunia Mungu,+