Kumbukumbu la Torati 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nanyi mtazishika na kuzifanya, kwa sababu hiyo ni hekima+ kwenu na uelewaji+ kwenu mbele ya macho ya vikundi vya watu watakaosikia juu ya masharti yote haya, nao watasema, ‘Taifa hili kubwa bila shaka ni watu wenye hekima na wenye uelewaji.’+ Zaburi 119:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ufunue macho yangu, ili nipate kutazama+Mambo ya ajabu kutoka katika sheria yako.+ Methali 22:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Je, kufikia sasa sikukuandikia mashauri na ujuzi,+
6 Nanyi mtazishika na kuzifanya, kwa sababu hiyo ni hekima+ kwenu na uelewaji+ kwenu mbele ya macho ya vikundi vya watu watakaosikia juu ya masharti yote haya, nao watasema, ‘Taifa hili kubwa bila shaka ni watu wenye hekima na wenye uelewaji.’+