Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nawe lazima ushike wajibu wako kwa Yehova, Mungu wako, kwa kutembea katika njia+ zake, kwa kushika sheria zake, amri zake na maamuzi yake ya hukumu+ na shuhuda zake, kulingana na yaliyoandikwa katika sheria ya Musa,+ ili utende kwa busara katika kila jambo unalofanya na kila mahali unapoenda;

  • Zaburi 19:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Sheria+ ya Yehova ni kamilifu,+ huirudisha nafsi.+

      Kikumbusho+ cha Yehova ni chenye kutegemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+

  • Zaburi 107:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Ni nani mwenye hekima? Atayashika mambo

      hayo+

      Na kukaza fikira zake kwa matendo ya Yehova ya fadhili zenye upendo.+

  • Zaburi 111:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kumwogopa Yehova ni mwanzo wa hekima.+

      ש [Sin]

      Wale wote wanaoyatenda maagizo yake wana ufahamu mwema.+

      ת [Taw]

      Sifa yake inasimama milele.+

  • Zaburi 119:98
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  98 Amri yako hunifanya kuwa na hekima kuliko adui zangu,+

      Kwa sababu ni yangu mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Methali 10:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Mwenye hekima moyoni atazikubali amri,+ lakini mwenye midomo ya upumbavu atakanyagiwa chini.+

  • Yeremia 8:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Wenye hekima wameona aibu.+ Wameingiwa na woga nao watashikwa. Tazama! Wamelikataa neno la Yehova, nao wana hekima gani?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki