Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nanyi mtazishika na kuzifanya, kwa sababu hiyo ni hekima+ kwenu na uelewaji+ kwenu mbele ya macho ya vikundi vya watu watakaosikia juu ya masharti yote haya, nao watasema, ‘Taifa hili kubwa bila shaka ni watu wenye hekima na wenye uelewaji.’+

  • Yoshua 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kitabu hiki cha sheria kisiondoke katika kinywa chako,+ nawe ukisome kwa sauti ya chini mchana na usiku, upate kuangalia kufanya kulingana na yote ambayo yameandikwa ndani yake;+ kwa maana ndipo utakapoifanikisha njia yako, kisha utatenda kwa hekima.+

  • 1 Wafalme 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nawe lazima ushike wajibu wako kwa Yehova, Mungu wako, kwa kutembea katika njia+ zake, kwa kushika sheria zake, amri zake na maamuzi yake ya hukumu+ na shuhuda zake, kulingana na yaliyoandikwa katika sheria ya Musa,+ ili utende kwa busara katika kila jambo unalofanya na kila mahali unapoenda;

  • Methali 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 na hivyo upate kibali na ufahamu mzuri machoni pa Mungu na machoni pa mtu wa udongo.+

  • 2 Timotheo 3:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 na kwamba tangu utoto mchanga+ umeyajua maandishi matakatifu, ambayo yanaweza kukufanya uwe mwenye hekima kwa ajili ya wokovu+ kupitia imani kuhusiana na Kristo Yesu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki