Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 17:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Naye atakaa nacho, na kukisoma siku zote za maisha yake,+ kusudi ajifunze kumwogopa Yehova Mungu wake ili apate kushika maneno yote ya sheria hii na masharti haya kwa kuyafanya;+

  • Zaburi 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Bali mapendezi yake ni katika sheria ya Yehova,+

      Naye huisoma sheria yake kwa sauti ya chini mchana na usiku.+

  • 1 Timotheo 4:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Tafakari mambo haya;+ zama katika hayo, ili maendeleo+ yako yawe wazi kwa watu wote.

  • Yakobo 1:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Lakini yeye anayechunguza ndani ya sheria kamilifu+ iliyo ya uhuru na ambaye hudumu katika hiyo, mtu huyo, kwa sababu amekuwa, si msikiaji msahaulifu, bali mtendaji wa kazi,+ atakuwa mwenye furaha+ katika kuitenda.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki