Kumbukumbu la Torati 30:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana neno hilo liko karibu sana nawe, katika kinywa chako mwenyewe na katika moyo wako mwenyewe,+ ili ulifanye.+ Mathayo 7:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “Kwa hiyo kila mtu anayesikia maneno yangu haya na kuyatenda atafananishwa na mtu mwenye busara, aliyejenga nyumba yake juu ya mwamba.+ Yohana 13:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ikiwa mnajua mambo haya, wenye furaha ni ninyi ikiwa mnayatenda.+
14 Kwa maana neno hilo liko karibu sana nawe, katika kinywa chako mwenyewe na katika moyo wako mwenyewe,+ ili ulifanye.+
24 “Kwa hiyo kila mtu anayesikia maneno yangu haya na kuyatenda atafananishwa na mtu mwenye busara, aliyejenga nyumba yake juu ya mwamba.+