34 Na watu kutoka katika vikundi vyote vya watu wakazidi kuja kuisikia hekima ya Sulemani,+ naam, kutoka kwa wafalme wote wa dunia waliokuwa wamesikia habari za hekima yake.+
7 Nami sikuyaamini maneno hayo mpaka nilipokuja ili nijionee kwa macho yangu mwenyewe; na tazama! sikuwa nimeambiwa hata nusu.+ Umezidi katika hekima na mafanikio, mambo yale niliyoyasikia.+
20 Na katika kila jambo la hekima na la uelewaji+ alilowauliza mfalme, akawaona kuwa bora mara kumi kuliko makuhani+ wote wenye kufanya uchawi na wafanya-mazingaombwe+ waliokuwa katika ufalme wake wote.