Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 10
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wafalme 10:1

Marejeo

  • +Mwa 10:28
  • +1Fa 4:29
  • +2Nya 9:1; Mt 12:42

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/1999, uku. 30

    Amkeni!,

    4/22/1994, uku. 25

  • Fahirishi ya Machapisho

    w99 7/1 30

1 Wafalme 10:2

Marejeo

  • +2Fa 8:9; Zb 72:10
  • +Isa 60:6
  • +Kut 25:6; 2Fa 20:13
  • +2Nya 9:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/1999, uku. 30

    Amkeni!,

    4/22/1994, uku. 25

  • Fahirishi ya Machapisho

    w99 7/1 30

1 Wafalme 10:3

Marejeo

  • +2Nya 9:2; Met 1:5; 13:20
  • +2Sa 14:20

1 Wafalme 10:4

Marejeo

  • +1Fa 3:28; 2Nya 9:3; Mhu 12:9
  • +1Fa 6:1

1 Wafalme 10:5

Marejeo

  • +1Fa 4:22
  • +2Nya 9:4
  • +Yos 5:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/1999, kur. 30-31

  • Fahirishi ya Machapisho

    w99 7/1 30

1 Wafalme 10:6

Marejeo

  • +2Nya 9:5

1 Wafalme 10:7

Marejeo

  • +Yoh 7:46; Ro 11:33
  • +2Nya 9:6

1 Wafalme 10:8

Marejeo

  • +1Fa 4:20; Zb 33:12; 144:15
  • +Kum 33:29; Met 3:13; 8:34
  • +2Nya 9:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/1999, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w99 11/1 20

1 Wafalme 10:9

Marejeo

  • +1Fa 5:7; Zb 72:18
  • +Zb 18:19
  • +Zb 2:6
  • +Kum 7:8; 1Nya 17:22; 2Nya 2:11
  • +1Fa 2:45; 2Nya 9:8; Lu 11:31; Yoh 1:49
  • +2Sa 8:15; Isa 9:7
  • +2Sa 23:3; Zb 72:2; Isa 11:4; Yer 22:15

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/1999, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w99 11/1 20

1 Wafalme 10:10

Marejeo

  • +Zb 72:10
  • +2Nya 9:9
  • +Mwa 43:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/2008, uku. 22

    11/1/1999, uku. 20

    7/1/1999, kur. 30-31

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 11/1 22; w99 7/1 30; w99 11/1 20

1 Wafalme 10:11

Marejeo

  • +1Fa 9:27
  • +2Nya 8:18; Zb 45:9
  • +2Nya 2:8
  • +2Nya 9:10

1 Wafalme 10:12

Marejeo

  • +2Nya 9:11
  • +1Nya 13:8; 25:1; Zb 92:3; 150:3
  • +2Sa 6:5; 2Nya 5:12

1 Wafalme 10:13

Marejeo

  • +Met 11:25
  • +2Nya 9:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/1999, kur. 30-31

  • Fahirishi ya Machapisho

    w99 7/1 30-31

1 Wafalme 10:14

Marejeo

  • +1Nya 29:4
  • +2Nya 9:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/2008, uku. 22

    5/15/1998, uku. 3

    10/15/1996, kur. 8-9

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 11/1 22; w98 5/15 3; w96 10/15 8-9

1 Wafalme 10:15

Marejeo

  • +2Nya 9:14; Zb 72:10
  • +2Nya 9:14; 21:16

1 Wafalme 10:16

Marejeo

  • +1Fa 14:26; 2Nya 12:9
  • +2Nya 9:15

1 Wafalme 10:17

Marejeo

  • +2Nya 9:16
  • +1Fa 7:2

1 Wafalme 10:18

Marejeo

  • +Zb 122:5
  • +1Fa 22:39; Zb 45:8; Amo 6:4; Ufu 18:12
  • +2Nya 9:17

1 Wafalme 10:19

Marejeo

  • +Mwa 49:9; Hes 23:24; 24:9; Met 28:1; Ufu 5:5
  • +2Nya 9:18

1 Wafalme 10:20

Marejeo

  • +2Nya 9:19

1 Wafalme 10:21

Marejeo

  • +1Fa 7:2
  • +2Nya 9:20

1 Wafalme 10:22

Marejeo

  • +Mwa 10:4; 2Nya 20:36; Zb 72:10; Isa 23:1; 60:9; Eze 27:12; Yon 1:3
  • +2Nya 9:21
  • +1Fa 10:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/2008, uku. 27

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 11/1 27

1 Wafalme 10:23

Marejeo

  • +1Fa 3:13; 2Nya 9:22; Mhu 5:19
  • +1Fa 3:12; 4:29, 34; Kol 2:3

1 Wafalme 10:24

Marejeo

  • +2Nya 9:23; Met 2:6

1 Wafalme 10:25

Marejeo

  • +Zb 68:29; Met 18:16
  • +1Nya 29:4
  • +Isa 22:8
  • +1Fa 1:33; Ezr 2:66
  • +2Nya 9:24

1 Wafalme 10:26

Marejeo

  • +Kum 17:16; 1Fa 4:26
  • +2Nya 9:25

1 Wafalme 10:27

Marejeo

  • +2Nya 1:15
  • +2Nya 9:27

1 Wafalme 10:28

Marejeo

  • +Kum 17:16; 2Nya 9:28

1 Wafalme 10:29

Marejeo

  • +Yos 1:4; 2Fa 7:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Amkeni!,

    11/2010, uku. 16

  • Fahirishi ya Machapisho

    g 11/10 16

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Fal. 10:1Mwa 10:28
1 Fal. 10:11Fa 4:29
1 Fal. 10:12Nya 9:1; Mt 12:42
1 Fal. 10:22Fa 8:9; Zb 72:10
1 Fal. 10:2Isa 60:6
1 Fal. 10:2Kut 25:6; 2Fa 20:13
1 Fal. 10:22Nya 9:1
1 Fal. 10:32Nya 9:2; Met 1:5; 13:20
1 Fal. 10:32Sa 14:20
1 Fal. 10:41Fa 3:28; 2Nya 9:3; Mhu 12:9
1 Fal. 10:41Fa 6:1
1 Fal. 10:51Fa 4:22
1 Fal. 10:52Nya 9:4
1 Fal. 10:5Yos 5:1
1 Fal. 10:62Nya 9:5
1 Fal. 10:7Yoh 7:46; Ro 11:33
1 Fal. 10:72Nya 9:6
1 Fal. 10:81Fa 4:20; Zb 33:12; 144:15
1 Fal. 10:8Kum 33:29; Met 3:13; 8:34
1 Fal. 10:82Nya 9:7
1 Fal. 10:91Fa 5:7; Zb 72:18
1 Fal. 10:9Zb 18:19
1 Fal. 10:9Zb 2:6
1 Fal. 10:9Kum 7:8; 1Nya 17:22; 2Nya 2:11
1 Fal. 10:91Fa 2:45; 2Nya 9:8; Lu 11:31; Yoh 1:49
1 Fal. 10:92Sa 8:15; Isa 9:7
1 Fal. 10:92Sa 23:3; Zb 72:2; Isa 11:4; Yer 22:15
1 Fal. 10:10Zb 72:10
1 Fal. 10:102Nya 9:9
1 Fal. 10:10Mwa 43:11
1 Fal. 10:111Fa 9:27
1 Fal. 10:112Nya 8:18; Zb 45:9
1 Fal. 10:112Nya 2:8
1 Fal. 10:112Nya 9:10
1 Fal. 10:122Nya 9:11
1 Fal. 10:121Nya 13:8; 25:1; Zb 92:3; 150:3
1 Fal. 10:122Sa 6:5; 2Nya 5:12
1 Fal. 10:13Met 11:25
1 Fal. 10:132Nya 9:12
1 Fal. 10:141Nya 29:4
1 Fal. 10:142Nya 9:13
1 Fal. 10:152Nya 9:14; Zb 72:10
1 Fal. 10:152Nya 9:14; 21:16
1 Fal. 10:161Fa 14:26; 2Nya 12:9
1 Fal. 10:162Nya 9:15
1 Fal. 10:172Nya 9:16
1 Fal. 10:171Fa 7:2
1 Fal. 10:18Zb 122:5
1 Fal. 10:181Fa 22:39; Zb 45:8; Amo 6:4; Ufu 18:12
1 Fal. 10:182Nya 9:17
1 Fal. 10:19Mwa 49:9; Hes 23:24; 24:9; Met 28:1; Ufu 5:5
1 Fal. 10:192Nya 9:18
1 Fal. 10:202Nya 9:19
1 Fal. 10:211Fa 7:2
1 Fal. 10:212Nya 9:20
1 Fal. 10:22Mwa 10:4; 2Nya 20:36; Zb 72:10; Isa 23:1; 60:9; Eze 27:12; Yon 1:3
1 Fal. 10:222Nya 9:21
1 Fal. 10:221Fa 10:18
1 Fal. 10:231Fa 3:13; 2Nya 9:22; Mhu 5:19
1 Fal. 10:231Fa 3:12; 4:29, 34; Kol 2:3
1 Fal. 10:242Nya 9:23; Met 2:6
1 Fal. 10:25Zb 68:29; Met 18:16
1 Fal. 10:251Nya 29:4
1 Fal. 10:25Isa 22:8
1 Fal. 10:251Fa 1:33; Ezr 2:66
1 Fal. 10:252Nya 9:24
1 Fal. 10:26Kum 17:16; 1Fa 4:26
1 Fal. 10:262Nya 9:25
1 Fal. 10:272Nya 1:15
1 Fal. 10:272Nya 9:27
1 Fal. 10:28Kum 17:16; 2Nya 9:28
1 Fal. 10:29Yos 1:4; 2Fa 7:6
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Wafalme 10:1-29

1 Wafalme

10 Basi malkia wa Sheba+ alikuwa akisikia habari za Sulemani kuhusiana na jina la Yehova.+ Kwa hiyo akaenda kumjaribu kwa maswali yenye kutatanisha.+ 2 Mwishowe akafika Yerusalemu pamoja na msafara wenye kuvutia sana,+ ngamia+ wenye kuchukua mafuta ya zeri+ na dhahabu nyingi sana na mawe ya thamani; naye akaingia kwa Sulemani, na malkia huyo akaanza kumwambia yote yaliyokuwa moyoni mwake.+ 3 Naye Sulemani akamwambia mambo yake yote.+ Hakuna jambo lolote lililofichwa kwa mfalme ambalo hakumwambia yule malkia.+

4 Malkia wa Sheba alipoona hekima yote ya Sulemani+ na ile nyumba ambayo alikuwa amejenga,+ 5 na chakula cha meza yake+ na kuketi kwa watumishi wake na utumishi wa mezani wa wale wenye kumhudumia na mavazi yao na vinywaji vyake+ na dhabihu zake za kuteketezwa alizotoa kwa ukawaida katika nyumba ya Yehova, basi haikubaki roho yoyote ndani ya malkia.+ 6 Kwa hiyo akamwambia mfalme: “Ni la kweli neno lile nililosikia katika nchi yangu kuhusu mambo yako na kuhusu hekima yako.+ 7 Nami sikuyaamini maneno hayo mpaka nilipokuja ili nijionee kwa macho yangu mwenyewe; na tazama! sikuwa nimeambiwa hata nusu.+ Umezidi katika hekima na mafanikio, mambo yale niliyoyasikia.+ 8 Watu wako ni wenye furaha;+ ni wenye furaha+ hawa watumishi wako wanaosimama mbele yako daima, wakiisikiliza hekima yako!+ 9 Na abarikiwe Yehova Mungu wako,+ ambaye amependezwa+ nawe, akakuweka juu ya kiti cha ufalme cha Israeli;+ kwa sababu Yehova anawapenda Israeli mpaka wakati usio na kipimo,+ hivi kwamba akakuchagua wewe uwe mfalme+ ili kufanya uamuzi wa hukumu+ na uadilifu.”+

10 Ndipo akampa+ mfalme talanta 120 za dhahabu+ na mafuta mengi sana ya zeri+ na mawe ya thamani. Hayakuletwa kamwe tena mafuta ya zeri yaliyo mengi kama yale ambayo malkia wa Sheba alimpa Mfalme Sulemani.

11 Na kundi la meli la Hiramu+ lililochukua dhahabu kutoka Ofiri+ likaleta pia kutoka Ofiri mbao za misandali+ kwa wingi sana na mawe ya thamani.+ 12 Na mfalme akatengeneza kwa zile mbao za misandali vitegemeo kwa ajili ya nyumba ya Yehova+ na kwa ajili ya nyumba ya mfalme, na pia vinubi+ na vinanda+ kwa ajili ya waimbaji. Mbao za misandali kama hizo hazijaletwa wala kuonekana mpaka leo hii.

13 Naye Mfalme Sulemani mwenyewe akampa malkia wa Sheba vyote vilivyompendeza, ambavyo aliomba, zaidi ya vitu alivyompa kulingana na ukunjufu wa mkono+ wa Mfalme Sulemani. Baada ya hayo akageuka, akaenda katika nchi yake, yeye pamoja na watumishi wake.+

14 Na uzito wa dhahabu+ iliyoletwa kwa Sulemani katika mwaka mmoja ulijumlika kuwa talanta 666 za dhahabu,+ 15 zaidi ya zile zilizoletwa na wasafiri na faida kutoka kwa wafanya-biashara na wafalme+ wote wa Waarabu+ na magavana wa nchi.

16 Na Mfalme Sulemani akatengeneza ngao kubwa mia mbili za dhahabu iliyochanganywa+ (akaweka shekeli mia sita za dhahabu kwenye kila ngao kubwa),+ 17 na ngao ndogo mia tatu za dhahabu iliyochanganywa (akaweka mina tatu za dhahabu kwenye kila ngao ndogo).+ Kisha mfalme akaziweka katika Nyumba ya Msitu wa Lebanoni.+

18 Tena mfalme akatengeneza kiti kikubwa cha ufalme+ cha pembe za tembo+ na kukifunika kwa dhahabu safi.+ 19 Kulikuwa na vipandio sita vilivyoelekea kwenye kile kiti cha ufalme, na kile kiti kilikuwa na paa la mviringo nyuma yake, na kulikuwa na mikono ya kiti upande huu na upande ule kando ya mahali pa kuketi, na simba+ wawili walisimama kando ya ile mikono ya kiti.+ 20 Na kulikuwa na simba kumi na wawili waliosimama hapo juu ya vile vipandio sita, upande huu na upande ule. Hakuna ufalme mwingine wowote uliokuwa na kiti kilichotengenezwa hivyo.+

21 Na vyombo vyote vya kunywea vya Mfalme Sulemani vilikuwa vya dhahabu, na vyombo vyote vya Nyumba ya Msitu wa Lebanoni+ vilikuwa vya dhahabu safi.+ Hapakuwa na kitu chochote cha fedha; fedha haikuhesabiwa kuwa kitu katika siku za Sulemani. 22 Kwa maana mfalme alikuwa na kundi la meli za Tarshishi+ baharini pamoja na kundi la meli za Hiramu. Mara moja kila miaka mitatu kundi la meli za Tarshishi zilikuja zikiwa zimebeba dhahabu+ na fedha, pembe za tembo,+ na sokwe na tausi.

23 Basi Mfalme Sulemani alikuwa mkuu katika utajiri+ na hekima+ kuliko wafalme wengine wote wa dunia. 24 Na watu wote wa dunia walikuwa wakiutafuta uso wa Sulemani ili wasikie hekima yake ambayo Mungu alikuwa ametia moyoni mwake.+ 25 Nao walikuwa wakileta kila mmoja zawadi yake,+ vyombo vya fedha+ na vyombo vya dhahabu na mavazi na silaha+ na mafuta ya zeri, farasi na nyumbu,+ kama kawaida ya kila mwaka.+

26 Na Sulemani akaendelea kukusanya magari na farasi wengi zaidi; naye akawa na magari elfu moja na mia nne na farasi+ kumi na mbili elfu, naye akaviweka vitu hivyo katika majiji ya magari na karibu na mfalme katika Yerusalemu.+

27 Na mfalme akafanya fedha iliyomo Yerusalemu kuwa kama mawe,+ akafanya mierezi iwe kama mikuyu iliyoko Shefela kwa wingi.+

28 Na farasi wa Sulemani walisafirishwa kutoka Misri, na wanabiashara wa mfalme wakawa wakichukua kundi la farasi kwa bei fulani.+ 29 Na kwa kawaida gari lilikuwa likija na kusafirishwa kutoka Misri kwa vipande 600 vya fedha, na farasi kwa vipande 150; na hivyo ndivyo ilivyokuwa kwa wafalme wote wa Wahiti+ na wafalme wote wa Siria. Walikuwa wakisafirisha vitu kupitia hao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki