4 Naye atawahukumu kwa uadilifu watu wa hali ya chini,+ atakaripia kwa unyoofu kwa ajili ya watu wapole wa dunia. Naye ataipiga dunia kwa fimbo ya kinywa chake;+ na kumuua mwovu kwa roho ya midomo yake.+
15 Je, utaendelea kutawala kwa sababu unashindana kwa kutumia mierezi? Naye baba yako, je, hakula na kunywa na kutekeleza haki na uadilifu?+ Kwa hiyo alifanikiwa.+