Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 22:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Naye akafanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova+ na kutembea katika njia yote ya Daudi babu yake,+ naye hakugeuka kando upande wa kuume wala wa kushoto.+

  • 2 Wafalme 23:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Na hapakuwa na mfalme kama yeye aliyemtangulia ambaye alirudi+ kwa Yehova kwa moyo wake wote na kwa nafsi yake yote+ na kwa nguvu zake zote, kulingana na sheria yote ya Musa; wala baada yake hapajatokea yeyote aliye kama yeye.

  • 2 Mambo ya Nyakati 34:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Naye akafanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova+ na kutembea katika njia za Daudi babu yake;+ naye hakugeuka kando upande wa kuume wala wa kushoto.+

  • Methali 21:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kutenda uadilifu na hukumu kunampendeza Yehova kuliko dhabihu.+

  • Methali 31:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Fungua kinywa chako, hukumu kwa uadilifu na kutetea mtu mwenye kuteseka na maskini.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki