2 Naye akafanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova+ na kutembea katika njia yote ya Daudi babu yake,+ naye hakugeuka kando upande wa kuume wala wa kushoto.+
25 Na hapakuwa na mfalme kama yeye aliyemtangulia ambaye alirudi+ kwa Yehova kwa moyo wake wote na kwa nafsi yake yote+ na kwa nguvu zake zote, kulingana na sheria yote ya Musa; wala baada yake hapajatokea yeyote aliye kama yeye.