2 Wafalme 23:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kabla ya Yosia hakukuwa na mfalme yeyote aliyekuwa kama yeye, ambaye alimrudia Yehova kwa moyo wake wote na kwa nafsi yake yote+ na kwa nguvu zake zote, kulingana na Sheria yote ya Musa, na baada yake hakutokea yeyote aliyekuwa kama yeye.
25 Kabla ya Yosia hakukuwa na mfalme yeyote aliyekuwa kama yeye, ambaye alimrudia Yehova kwa moyo wake wote na kwa nafsi yake yote+ na kwa nguvu zake zote, kulingana na Sheria yote ya Musa, na baada yake hakutokea yeyote aliyekuwa kama yeye.