2 Mambo ya Nyakati 17:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na Yehova akaendelea kuwa pamoja na Yehoshafati,+ kwa sababu alitembea katika njia za zamani za Daudi babu yake+ wala hakutafuta Mabaali.+ Ezekieli 18:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “ ‘Na, tazama! mtu amemzaa mwana, ambaye anaendelea kuona dhambi zote za baba yake ambazo amefanya, naye anaona lakini hafanyi mambo kama hayo.+
3 Na Yehova akaendelea kuwa pamoja na Yehoshafati,+ kwa sababu alitembea katika njia za zamani za Daudi babu yake+ wala hakutafuta Mabaali.+
14 “ ‘Na, tazama! mtu amemzaa mwana, ambaye anaendelea kuona dhambi zote za baba yake ambazo amefanya, naye anaona lakini hafanyi mambo kama hayo.+