2 Samweli 8:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na Daudi akaendelea kutawala juu ya Israeli+ yote; na Daudi akaendelea kutoa uamuzi wa hukumu na uadilifu+ kwa ajili ya watu wake wote.+ 1 Wafalme 11:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na Sulemani akaanza kufanya yaliyokuwa mabaya+ machoni pa Yehova, naye hakumfuata Yehova kikamilifu kama Daudi baba yake.+ 1 Wafalme 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye akaendelea kutembea katika dhambi zote za baba yake alizotenda kabla yake; na moyo wake haukuwa mkamilifu+ kwa Yehova Mungu wake, kama moyo wa Daudi babu yake.+
15 Na Daudi akaendelea kutawala juu ya Israeli+ yote; na Daudi akaendelea kutoa uamuzi wa hukumu na uadilifu+ kwa ajili ya watu wake wote.+
6 Na Sulemani akaanza kufanya yaliyokuwa mabaya+ machoni pa Yehova, naye hakumfuata Yehova kikamilifu kama Daudi baba yake.+
3 Naye akaendelea kutembea katika dhambi zote za baba yake alizotenda kabla yake; na moyo wake haukuwa mkamilifu+ kwa Yehova Mungu wake, kama moyo wa Daudi babu yake.+