1 Mambo ya Nyakati 18:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na Daudi akaendelea kutawala juu ya Israeli yote,+ naye akaendelea kutoa uamuzi wa hukumu na uadilifu kwa ajili ya watu wake wote.+ Methali 29:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mfalme hufanya nchi iendelee kusimama kupitia haki,+ lakini mtu anayekula rushwa huibomoa.+ Methali 29:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mfalme anapohukumu watu wa hali ya chini kwa ukweli,+ kiti chake cha ufalme kitafanywa imara kwa wakati wote.+
14 Na Daudi akaendelea kutawala juu ya Israeli yote,+ naye akaendelea kutoa uamuzi wa hukumu na uadilifu kwa ajili ya watu wake wote.+
14 Mfalme anapohukumu watu wa hali ya chini kwa ukweli,+ kiti chake cha ufalme kitafanywa imara kwa wakati wote.+