Zaburi 72:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na atetee kesi ya watu wako kwa uadilifu+Na ya watu wako wenye kuteseka kwa hukumu.+ Methali 20:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Fadhili zenye upendo na ukweli—hizo humlinda mfalme;+ na kwa fadhili zenye upendo amedumisha kiti chake cha ufalme.+ Danieli 4:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kwa hiyo, Ee mfalme, shauri langu na likubalike kwako,+ nawe uziondoe dhambi zako kwa uadilifu,+ na uovu wako kwa kuwaonyesha maskini rehema.+ Labda mafanikio yako yatarefushwa.’ ”+
28 Fadhili zenye upendo na ukweli—hizo humlinda mfalme;+ na kwa fadhili zenye upendo amedumisha kiti chake cha ufalme.+
27 Kwa hiyo, Ee mfalme, shauri langu na likubalike kwako,+ nawe uziondoe dhambi zako kwa uadilifu,+ na uovu wako kwa kuwaonyesha maskini rehema.+ Labda mafanikio yako yatarefushwa.’ ”+