29 “Je, umeona jinsi ambavyo Ahabu amejinyenyekeza kwa ajili yangu?+ Kwa sababu amejinyenyekeza kwa ajili yangu, sitauleta ule msiba katika siku zake.+ Katika siku za mwana wake nitauleta msiba ule juu ya nyumba yake.”+
14 Ni nani anayejua ikiwa yeye hatageuka na kujuta+ na baada ya hayo abakize baraka,+ toleo la nafaka na toleo la kinywaji kwa ajili ya Yehova Mungu wenu?
10 Naye Mungu wa kweli akaona matendo yao,+ kwamba walikuwa wamegeuka kutoka katika njia yao mbaya;+ naye Mungu wa kweli akajuta+ juu ya msiba ambao alikuwa amesema ataleta juu yao; naye hakuuleta.+