Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 30:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Sasa msifanye shingo+ zenu kuwa ngumu kama walivyofanya mababu zenu. Mpeni Yehova nafasi+ na mje katika patakatifu pake+ ambapo amepatakasa+ mpaka wakati usio na kipimo na kumtumikia+ Yehova Mungu wenu, ili hasira yake inayowaka+ iondoke kwenu.

  • Yeremia 18:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 na kwa kweli taifa lile ligeuke kutoka katika ubaya wake ambao nilisema juu yake,+ mimi pia nitajuta juu ya ule msiba niliokuwa nimefikiria kuutimiza juu yake.+

  • Yona 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ni nani anayejua iwapo Mungu wa kweli hatageuka na kujuta+ na kuacha hasira yake inayowaka, tusije tukaangamia?”+

  • Sefania 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 mtafuteni Yehova,+ ninyi nyote mlio wapole wa dunia,+ ambao mmetenda uamuzi Wake wa hukumu. Utafuteni uadilifu,+ utafuteni upole.+ Huenda+ mkafichwa katika siku ya hasira ya Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki