Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 32:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Naye Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Nimewatazama watu hawa na, kumbe, ni watu wenye shingo ngumu.+

  • Kumbukumbu la Torati 10:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nanyi mtatahiri govi la mioyo+ yenu wala msifanye shingo zenu kuwa ngumu tena.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Naye akamwasi hata Mfalme Nebukadneza,+ aliyekuwa amemwapisha kwa Mungu;+ naye akaendelea kuifanya shingo yake kuwa ngumu+ na kuufanya moyo wake kuwa mgumu+ ili asirudi kwa Yehova Mungu wa Israeli.

  • Waroma 10:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Lakini kwa habari ya Israeli yeye anasema: “Mchana kutwa nimewanyooshea mikono yangu watu wasiotii+ na wanaojibu kwa ujeuri.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki