Kutoka 32:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Naye Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Nimewatazama watu hawa na, kumbe, ni watu wenye shingo ngumu.+ Kumbukumbu la Torati 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nanyi mtatahiri govi la mioyo+ yenu wala msifanye shingo zenu kuwa ngumu tena.+ 2 Mambo ya Nyakati 36:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Naye akamwasi hata Mfalme Nebukadneza,+ aliyekuwa amemwapisha kwa Mungu;+ naye akaendelea kuifanya shingo yake kuwa ngumu+ na kuufanya moyo wake kuwa mgumu+ ili asirudi kwa Yehova Mungu wa Israeli. Waroma 10:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Lakini kwa habari ya Israeli yeye anasema: “Mchana kutwa nimewanyooshea mikono yangu watu wasiotii+ na wanaojibu kwa ujeuri.”+
9 Naye Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Nimewatazama watu hawa na, kumbe, ni watu wenye shingo ngumu.+
13 Naye akamwasi hata Mfalme Nebukadneza,+ aliyekuwa amemwapisha kwa Mungu;+ naye akaendelea kuifanya shingo yake kuwa ngumu+ na kuufanya moyo wake kuwa mgumu+ ili asirudi kwa Yehova Mungu wa Israeli.
21 Lakini kwa habari ya Israeli yeye anasema: “Mchana kutwa nimewanyooshea mikono yangu watu wasiotii+ na wanaojibu kwa ujeuri.”+