20 Kwa maana hayo yalitendeka katika Yerusalemu na katika Yuda kwa sababu ya hasira+ ya Yehova, mpaka alipokuwa amewatupa kutoka mbele za macho yake.+ Na Sedekia akaanza kumwasi mfalme wa Babiloni.+
3 Kwa maana hayo yalitukia katika Yerusalemu na Yuda kwa sababu ya hasira ya Yehova, mpaka alipokuwa amewatupa kutoka mbele za uso wake.+ Na Sedekia akaanza kumwasi mfalme wa Babiloni.+
15 Lakini mwishowe alimwasi+ kwa kutuma wajumbe wake Misri, ili wampe farasi+ na umati wa watu. Je, atakuwa na mafanikio? Je, ataponyoka, yeye anayefanya mambo haya, na ambaye amevunja agano? Na je, kwa kweli ataponyoka?’+