7 “ ‘ “Na kukawa na tai mwingine mkubwa,+ mwenye mabawa makubwa, na mwenye manyoya makubwa,+ na, tazama! mzabibu huohuo ukasambaza mizizi yake kwa pupa kumwelekea.+ Nao ukamnyooshea majani yake ili ayanyweshe, mbali na eneo dogo la bustani mahali ulipopandwa.+