Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 24:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa maana hayo yalitendeka katika Yerusalemu na katika Yuda kwa sababu ya hasira+ ya Yehova, mpaka alipokuwa amewatupa kutoka mbele za macho yake.+ Na Sedekia akaanza kumwasi mfalme wa Babiloni.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Naye akamwasi hata Mfalme Nebukadneza,+ aliyekuwa amemwapisha kwa Mungu;+ naye akaendelea kuifanya shingo yake kuwa ngumu+ na kuufanya moyo wake kuwa mgumu+ ili asirudi kwa Yehova Mungu wa Israeli.

  • Yeremia 52:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana hayo yalitukia katika Yerusalemu na Yuda kwa sababu ya hasira ya Yehova, mpaka alipokuwa amewatupa kutoka mbele za uso wake.+ Na Sedekia akaanza kumwasi mfalme wa Babiloni.+

  • Ezekieli 17:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “ ‘ “Na kukawa na tai mwingine mkubwa,+ mwenye mabawa makubwa, na mwenye manyoya makubwa,+ na, tazama! mzabibu huohuo ukasambaza mizizi yake kwa pupa kumwelekea.+ Nao ukamnyooshea majani yake ili ayanyweshe, mbali na eneo dogo la bustani mahali ulipopandwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki