Ezekieli 17:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “‘“Akaja tai mwingine mkubwa,+ mwenye mabawa makubwa na manyoya makubwa.+ Kisha mzabibu huo ukasambaza mizizi yake kwa bidii kumwelekea, mbali na bustani mahali ambapo ulipandwa, nao ukaelekeza majani yake kwake ili aumwagilie maji.+ Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 17:7 Ibada Safi, kur. 85-86 Mnara wa Mlinzi,9/15/1988, uku. 17
7 “‘“Akaja tai mwingine mkubwa,+ mwenye mabawa makubwa na manyoya makubwa.+ Kisha mzabibu huo ukasambaza mizizi yake kwa bidii kumwelekea, mbali na bustani mahali ambapo ulipandwa, nao ukaelekeza majani yake kwake ili aumwagilie maji.+