5 Na kulikuwa na jeshi la Farao lililotoka Misri;+ na Wakaldayo waliokuwa wakizingira Yerusalemu wakasikia habari kuwahusu. Basi wakaondoka mbele ya Yerusalemu.+
15 Lakini mwishowe alimwasi+ kwa kutuma wajumbe wake Misri, ili wampe farasi+ na umati wa watu. Je, atakuwa na mafanikio? Je, ataponyoka, yeye anayefanya mambo haya, na ambaye amevunja agano? Na je, kwa kweli ataponyoka?’+