Ezekieli 17:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Lakini mwishowe mfalme huyo alimwasi+ kwa kutuma wajumbe wake Misri ili apate farasi+ na jeshi kubwa kutoka huko.+ Je, atafanikiwa? Je, yule anayefanya mambo hayo ataponyoka adhabu? Je, anaweza kuvunja agano na bado aponyoke?’+ Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 17:15 Ibada Safi, uku. 85
15 Lakini mwishowe mfalme huyo alimwasi+ kwa kutuma wajumbe wake Misri ili apate farasi+ na jeshi kubwa kutoka huko.+ Je, atafanikiwa? Je, yule anayefanya mambo hayo ataponyoka adhabu? Je, anaweza kuvunja agano na bado aponyoke?’+