-
Yeremia 32:3, 4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
3 Kwa maana Mfalme Sedekia wa Yuda alikuwa amemzuilia,+ akisema: “Kwa nini unatabiri hivi? Unasema, ‘Yehova anasema hivi: “Nitalitia jiji hili mikononi mwa mfalme wa Babiloni, naye ataliteka,+ 4 na Mfalme Sedekia wa Yuda hataponyoka kutoka kwa Wakaldayo, kwa maana hakika atatiwa mikononi mwa mfalme wa Babiloni, naye atazungumza naye uso kwa uso na kumwona jicho kwa jicho.”+
-