Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 17:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ila tu asiongeze farasi kwa ajili yake,+ wala kuwafanya watu warudi Misri ili kuongeza farasi;+ huku Yehova amewaambia ninyi, ‘Msirudi kamwe tena katika njia hii.’

  • Isaya 30:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 wale wanaojitayarisha kushuka kwenda Misri+ na ambao hawakuuliza kutoka kinywani mwangu,+ ili kupata kinga katika ngome ya Farao na kupata kimbilio katika kivuli cha Misri!+

  • Isaya 31:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Ole wao wanaoshuka kwenda Misri kutafuta usaidizi,+ wale wanaotegemea farasi+ ambao si kitu, na wanaotegemea magari ya vita,+ kwa sababu ni mengi, na kutegemea farasi wa vita, kwa sababu wana nguvu sana, lakini ambao hawakumtazama Mtakatifu wa Israeli wala kumtafuta Yehova mwenyewe.+

  • Yeremia 37:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na kulikuwa na jeshi la Farao lililotoka Misri;+ na Wakaldayo waliokuwa wakizingira Yerusalemu wakasikia habari kuwahusu. Basi wakaondoka mbele ya Yerusalemu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki