Kumbukumbu la Torati 17:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ila tu asiongeze farasi kwa ajili yake,+ wala kuwafanya watu warudi Misri ili kuongeza farasi;+ huku Yehova amewaambia ninyi, ‘Msirudi kamwe tena katika njia hii.’ Zaburi 33:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Farasi ni udanganyifu kwa ajili ya wokovu,+Na kwa wingi wa nguvu zake haokoi.+ Methali 21:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Farasi ni kitu kilichowekwa tayari kwa ajili ya siku ya pigano,+ lakini wokovu ni wa Yehova.+
16 Ila tu asiongeze farasi kwa ajili yake,+ wala kuwafanya watu warudi Misri ili kuongeza farasi;+ huku Yehova amewaambia ninyi, ‘Msirudi kamwe tena katika njia hii.’