Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 9:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na watu hawakurudi kwa Yeye anayewapiga,+ nao hawakumtafuta Yehova wa majeshi.+

  • Isaya 64:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na hakuna yeyote anayeliitia jina lako,+ hakuna yeyote anayeamka ili akushike; kwa maana umeuficha uso wako kutoka kwetu,+ nawe unatuyeyusha+ kwa nguvu za kosa letu.

  • Danieli 9:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kama vile ilivyoandikwa katika sheria ya Musa,+ msiba huu wote—umekuja juu yetu,+ nasi hatukuutuliza uso wa Yehova Mungu wetu kwa kuacha makosa yetu+ na kwa kuonyesha ufahamu katika ukweli wako.+

  • Hosea 7:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Wao wote hupata moto, kama tanuru, nao huwateketeza waamuzi wao. Wafalme wao wote wameanguka;+ hakuna yeyote kati yao anayeniita.+

  • Amosi 5:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Kwa maana Yehova ameiambia hivi nyumba ya Israeli, ‘Nitafuteni mimi,+ mwendelee kuishi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki