2 Mambo ya Nyakati 15:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa hiyo akaenda mbele ya Asa na kumwambia: “Mnisikilize mimi, Ee Asa na Yuda wote na Benyamini! Yehova yuko pamoja nanyi ikiwa ninyi mko pamoja naye;+ nanyi mkimtafuta,+ atawaruhusu mumpate, lakini mkimwacha yeye atawaacha ninyi.+ Isaya 55:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mtafuteni Yehova, wakati anapoweza kupatikana.+ Mwiteni akiwa bado yupo karibu.+ Yeremia 29:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na hakika mtaniita na kuja na kusali kwangu, nami nitawasikiliza.’+
2 Kwa hiyo akaenda mbele ya Asa na kumwambia: “Mnisikilize mimi, Ee Asa na Yuda wote na Benyamini! Yehova yuko pamoja nanyi ikiwa ninyi mko pamoja naye;+ nanyi mkimtafuta,+ atawaruhusu mumpate, lakini mkimwacha yeye atawaacha ninyi.+