Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 28:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Nawe, Sulemani mwanangu, mjue+ Mungu wa baba yako, umtumikie+ kwa moyo kamili+ na kwa nafsi yenye shangwe;+ kwa maana Yehova anaichunguza mioyo yote,+ naye anatambua kila mwelekeo wa fikira.+ Ukimtafuta, ataacha umpate;+ lakini ukimwacha,+ atakutupa mbali milele.+

  • Zaburi 14:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Kutoka mbinguni Yehova amewatazama wana wa binadamu walio chini,+

      Ili aone kama kuna yeyote ambaye ana ufahamu, yeyote anayemtafuta Yehova.+

  • Mathayo 7:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa maana kila mtu anayeomba hupokea,+ na kila mtu anayetafuta hupata, na kila mtu anayepiga hodi atafunguliwa.

  • Luka 13:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 “Jitahidini+ sana ili mwingie kupitia mlango mwembamba,+ kwa sababu wengi, ninawaambia ninyi, watajaribu kuingia lakini hawataweza,+

  • Waebrania 4:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 yeye tena anaweka siku fulani kwa kusema hivi baada ya wakati mrefu sana katika zaburi ya Daudi “Leo”; kama ilivyosemwa hapo juu: “Leo ikiwa mtaisikiliza sauti yake,+ msiifanye mioyo yenu kuwa migumu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki