Yohana 7:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Mtanitafuta, lakini hamtanipata,+ na mahali nilipo hamwezi kuja.”+ Waroma 9:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 lakini Israeli, ijapokuwa alikuwa akiifuatilia sheria ya uadilifu, hakuifikia sheria.+ 1 Timotheo 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Pigana pigano zuri la imani,+ ushike imara ule uzima wa milele ambao uliitiwa nawe ukatoa tangazo zuri la hadharani+ mbele ya mashahidi wengi.
12 Pigana pigano zuri la imani,+ ushike imara ule uzima wa milele ambao uliitiwa nawe ukatoa tangazo zuri la hadharani+ mbele ya mashahidi wengi.