Yeremia 29:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na hakika mtaniita na kuja na kusali kwangu, nami nitawasikiliza.’+ Yohana 14:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Pia, lolote lile mtakaloomba katika jina langu, nitalifanya, ili Baba apate kutukuzwa kuhusiana na Mwana.+ 1 Yohana 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 na chochote kile tunachoomba tunapokea kutoka kwake,+ kwa sababu tunazishika amri zake na tunafanya mambo yanayopendeza machoni pake.+
13 Pia, lolote lile mtakaloomba katika jina langu, nitalifanya, ili Baba apate kutukuzwa kuhusiana na Mwana.+
22 na chochote kile tunachoomba tunapokea kutoka kwake,+ kwa sababu tunazishika amri zake na tunafanya mambo yanayopendeza machoni pake.+