Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 29:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na hakika mtaniita na kuja na kusali kwangu, nami nitawasikiliza.’+

  • Yohana 14:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Pia, lolote lile mtakaloomba katika jina langu, nitalifanya, ili Baba apate kutukuzwa kuhusiana na Mwana.+

  • 1 Yohana 3:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 na chochote kile tunachoomba tunapokea kutoka kwake,+ kwa sababu tunazishika amri zake na tunafanya mambo yanayopendeza machoni pake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki