Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 10:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Tamaa ya wapole hakika utaisikia,+ Ee Yehova.

      Utautayarisha moyo wao.+

      Utasikiliza kwa makini kwa sikio lako.+

  • Zaburi 34:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Macho ya Yehova yanawaelekea waadilifu,+

      Na masikio yake yanakielekea kilio chao cha kuomba msaada.+

  • Mathayo 7:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa maana kila mtu anayeomba hupokea,+ na kila mtu anayetafuta hupata, na kila mtu anayepiga hodi atafunguliwa.

  • 1 Petro 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana macho+ ya Yehova yako juu ya waadilifu, na masikio yake yanaielekea dua yao;+ bali uso wa Yehova uko dhidi ya wale wanaotenda mambo mabaya.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki