Zaburi 9:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana maskini hawatasahauliwa sikuzote,+Wala tumaini la wapole halitaangamia kamwe.+ Zaburi 147:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yehova anawatuliza wapole;+Anawashusha waovu mpaka chini.+