Zaburi 10:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Tamaa ya wapole hakika utaisikia,+ Ee Yehova.Utautayarisha moyo wao.+Utasikiliza kwa makini kwa sikio lako.+ Zaburi 37:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Mtumaini Yehova na kuishika njia yake,+Naye atakuinua uimiliki dunia.+Watu waovu watakapokatiliwa mbali, wewe utaona hilo.+ Methali 24:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Vivyo hivyo, ijue hekima kwa ajili ya nafsi yako.+ Ikiwa umeipata, basi kuna wakati ujao, na tumaini lako mwenyewe halitakatiliwa mbali.+ Mathayo 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Wenye furaha ni wale walio na tabia-pole,+ kwa kuwa watairithi dunia.+
17 Tamaa ya wapole hakika utaisikia,+ Ee Yehova.Utautayarisha moyo wao.+Utasikiliza kwa makini kwa sikio lako.+
34 Mtumaini Yehova na kuishika njia yake,+Naye atakuinua uimiliki dunia.+Watu waovu watakapokatiliwa mbali, wewe utaona hilo.+
14 Vivyo hivyo, ijue hekima kwa ajili ya nafsi yako.+ Ikiwa umeipata, basi kuna wakati ujao, na tumaini lako mwenyewe halitakatiliwa mbali.+