Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 8:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Naye Samweli akasikiliza maneno yote ya watu hao; kisha akayasema masikioni mwa Yehova.+

  • Zaburi 6:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Yehova mwenyewe atasikia kwelikweli ombi langu la kutaka kibali;+

      Yehova ataikubali sala yangu.+

  • Zaburi 9:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa maana maskini hawatasahauliwa sikuzote,+

      Wala tumaini la wapole halitaangamia kamwe.+

  • Zaburi 102:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Hakika ataielekea sala ya wale waliovuliwa kila kitu,+

      Naye hataidharau sala yao.+

  • Methali 15:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Dhabihu ya waovu ni chukizo kwa Yehova,+ lakini sala ya wanyoofu ni furaha kwake.+

  • 1 Petro 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana macho+ ya Yehova yako juu ya waadilifu, na masikio yake yanaielekea dua yao;+ bali uso wa Yehova uko dhidi ya wale wanaotenda mambo mabaya.”+

  • 1 Yohana 3:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 na chochote kile tunachoomba tunapokea kutoka kwake,+ kwa sababu tunazishika amri zake na tunafanya mambo yanayopendeza machoni pake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki