1 Samweli 8:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Naye Samweli akasikiliza maneno yote ya watu hao; kisha akayasema masikioni mwa Yehova.+ Zaburi 6:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yehova mwenyewe atasikia kwelikweli ombi langu la kutaka kibali;+Yehova ataikubali sala yangu.+ Zaburi 9:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana maskini hawatasahauliwa sikuzote,+Wala tumaini la wapole halitaangamia kamwe.+ Zaburi 102:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Hakika ataielekea sala ya wale waliovuliwa kila kitu,+Naye hataidharau sala yao.+ Methali 15:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Dhabihu ya waovu ni chukizo kwa Yehova,+ lakini sala ya wanyoofu ni furaha kwake.+ 1 Petro 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana macho+ ya Yehova yako juu ya waadilifu, na masikio yake yanaielekea dua yao;+ bali uso wa Yehova uko dhidi ya wale wanaotenda mambo mabaya.”+ 1 Yohana 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 na chochote kile tunachoomba tunapokea kutoka kwake,+ kwa sababu tunazishika amri zake na tunafanya mambo yanayopendeza machoni pake.+
12 Kwa maana macho+ ya Yehova yako juu ya waadilifu, na masikio yake yanaielekea dua yao;+ bali uso wa Yehova uko dhidi ya wale wanaotenda mambo mabaya.”+
22 na chochote kile tunachoomba tunapokea kutoka kwake,+ kwa sababu tunazishika amri zake na tunafanya mambo yanayopendeza machoni pake.+