Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 31:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Mimi nilisema hivi niliposhikwa na wasiwasi:+

      “Hakika nitaangamizwa kutoka mbele za macho yako.”+

      Bila shaka umeisikia sauti ya kusihi kwangu nilipokulilia unisaidie.+

  • Zaburi 40:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Nilimtumainia Yehova kwa bidii,+

      Kwa hiyo akanitegea sikio lake na kusikia kilio changu cha kuomba msaada.+

  • Yona 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 na kusema:

      “Katika taabu yangu nilimwita Yehova,+ naye akanijibu.+

      Katika tumbo la Kaburi* nilililia msaada.+

      Ulisikia sauti yangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki