Zaburi 31:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mimi nilisema hivi niliposhikwa na wasiwasi:+“Hakika nitaangamizwa kutoka mbele za macho yako.”+Bila shaka umeisikia sauti ya kusihi kwangu nilipokulilia unisaidie.+ Zaburi 40:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Nilimtumainia Yehova kwa bidii,+Kwa hiyo akanitegea sikio lake na kusikia kilio changu cha kuomba msaada.+ Yona 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 na kusema:“Katika taabu yangu nilimwita Yehova,+ naye akanijibu.+Katika tumbo la Kaburi* nilililia msaada.+Ulisikia sauti yangu.+
22 Mimi nilisema hivi niliposhikwa na wasiwasi:+“Hakika nitaangamizwa kutoka mbele za macho yako.”+Bila shaka umeisikia sauti ya kusihi kwangu nilipokulilia unisaidie.+
40 Nilimtumainia Yehova kwa bidii,+Kwa hiyo akanitegea sikio lake na kusikia kilio changu cha kuomba msaada.+
2 na kusema:“Katika taabu yangu nilimwita Yehova,+ naye akanijibu.+Katika tumbo la Kaburi* nilililia msaada.+Ulisikia sauti yangu.+