Zaburi 16:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana hutaiacha nafsi yangu katika Kaburi.*+Hutamruhusu mshikamanifu wako aone shimo.+ Mathayo 12:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Kwa maana kama vile Yona+ alivyokuwa katika tumbo la yule samaki mkubwa siku tatu mchana na usiku, ndivyo Mwana wa binadamu+ atakavyokuwa katika moyo wa dunia+ siku tatu mchana na usiku.+ Matendo 2:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 kwa sababu hutaiacha nafsi yangu katika Kaburi,* wala hutamruhusu mshikamanifu wako aone uharibifu.+
40 Kwa maana kama vile Yona+ alivyokuwa katika tumbo la yule samaki mkubwa siku tatu mchana na usiku, ndivyo Mwana wa binadamu+ atakavyokuwa katika moyo wa dunia+ siku tatu mchana na usiku.+
27 kwa sababu hutaiacha nafsi yangu katika Kaburi,* wala hutamruhusu mshikamanifu wako aone uharibifu.+