Mathayo 27:60 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 60 na kuulaza katika kaburi lake jipya,+ alilokuwa amechimba katika mwamba. Na, baada ya kuviringisha jiwe kubwa kwenye mlango wa lile kaburi, akaondoka.+ Waefeso 4:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Basi neno “alipopanda,”+ linamaanisha nini isipokuwa kwamba alishuka pia katika maeneo ya chini zaidi, yaani, dunia?+
60 na kuulaza katika kaburi lake jipya,+ alilokuwa amechimba katika mwamba. Na, baada ya kuviringisha jiwe kubwa kwenye mlango wa lile kaburi, akaondoka.+
9 Basi neno “alipopanda,”+ linamaanisha nini isipokuwa kwamba alishuka pia katika maeneo ya chini zaidi, yaani, dunia?+