Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 15:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Basi akanunua kitani bora na kumshusha, akamfunga katika kile kitani bora na kumlaza+ katika kaburi+ lililokuwa limechimbwa katika mwamba; naye akaviringisha jiwe hata kwenye mlango wa lile kaburi.+

  • Luka 23:53
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 53 Naye akaushusha+ na kuufunga katika kitani bora, naye akamlaza katika kaburi+ lililochongwa katika mwamba, ambamo hakuna mtu aliyepata kulazwa.+

  • Yohana 19:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Ilitukia kwamba, mahali alipotundikwa mtini palikuwa na bustani, na katika bustani hiyo kaburi jipya,+ ambalo bado hakuna yeyote aliyekuwa amelazwa ndani yake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki