Isaya 53:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Naye atafanya kaburi lake liwe pamoja na waovu,+ na pamoja na jamii ya matajiri katika kifo chake,+ ingawa yeye hakuwa amefanya jeuri+ wala hapakuwa na udanganyifu kinywani mwake.+ Matendo 13:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Basi, walipokuwa wametimiza mambo yote yaliyoandikwa juu yake,+ walimshusha chini kutoka kwenye mti+ na kumlaza katika kaburi.+
9 Naye atafanya kaburi lake liwe pamoja na waovu,+ na pamoja na jamii ya matajiri katika kifo chake,+ ingawa yeye hakuwa amefanya jeuri+ wala hapakuwa na udanganyifu kinywani mwake.+
29 Basi, walipokuwa wametimiza mambo yote yaliyoandikwa juu yake,+ walimshusha chini kutoka kwenye mti+ na kumlaza katika kaburi.+